2 Samuel 14:17

17 a“Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno la bwana wangu mfalme na linipatie pumziko, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kutambua jema na baya. Bwana Mwenyezi Mungu wako na awe pamoja nawe.’ ”

Copyright information for SwhKC